Vikosi vya Ukraine vyasema vimewakamata wanajeshi 100 wa Urusi

 

Vikosi vya Ukraine vyasema vimewakamata wanajeshi 100 wa Urusi

Rais Zelensky

Zaidi sasa kutoka kwa ujumbe uliotumwa hivi punde kwenye mitandao ya kijamii na Rais Volodymyr Zelensky.

Anaonekana akizungumza kupitia video na kamanda mkuu wa jeshi Oleksandr Syrskyi.

Syrskyi anamwambia rais kwamba vikosi vya Ukraine leo vimewakamata wanajeshi 100 wa Urusi wakati wa uvamizi wao katika eneo la Kursk la Urusi.

"Ninamshukuru kila mtu anayehusika," anaongeza Zelensky kwenye X. "Hii itaharakisha kurudi kwa vijana na wasichana wetu nyumbani."

Popular posts from this blog

Jeshi la Wanamaji la Marekani limesema linakabiliwa na vita 'kali zaidi' tangu Vita vya Pili vya Dunia dhidi ya Wayemeni

Putin asaini mkataba wa kituo cha Mwezi na China