Biden: Ikiwa wanajeshi wa Korea Kaskazini wataingia Ukraine, Ukraine inapaswa kuwashambulia
Biden: Ikiwa wanajeshi wa Korea Kaskazini wataingia Ukraine, Ukraine inapaswa kuwashambulia

Chanzo cha picha, Reuters
Rais wa Marekani Joe Biden ametoa maoni yake kuhusu ripoti za wanajeshi wa Korea Kaskazini kuwasili katika eneo la Kursk nchini Urusi.
Alisema ana wasiwasi na ripoti hizo. Alipoulizwa ikiwa Ukraine inapaswa kujibu, Biden alijibu: "Ikiwa watavuka mpaka na kuingia Ukraine, basi ndio washambuliwe."