Biden: Ikiwa wanajeshi wa Korea Kaskazini wataingia Ukraine, Ukraine inapaswa kuwashambulia

 

Biden: Ikiwa wanajeshi wa Korea Kaskazini wataingia Ukraine, Ukraine inapaswa kuwashambulia

Jeshi la Korea Kaskazini

Chanzo cha picha, Reuters

Rais wa Marekani Joe Biden ametoa maoni yake kuhusu ripoti za wanajeshi wa Korea Kaskazini kuwasili katika eneo la Kursk nchini Urusi.

Alisema ana wasiwasi na ripoti hizo. Alipoulizwa ikiwa Ukraine inapaswa kujibu, Biden alijibu: "Ikiwa watavuka mpaka na kuingia Ukraine, basi ndio washambuliwe."

Popular posts from this blog

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio matano muhimu ya faida na hasara kwa Putin 2024

Jeshi la Wanamaji la Marekani limesema linakabiliwa na vita 'kali zaidi' tangu Vita vya Pili vya Dunia dhidi ya Wayemeni

Wanawake 100 wa BBC 2024: Ni nani yuko kwenye orodha mwaka huu?