Putin: 'Lazima tumfukuze adui nje ya eneo letu

 

Putin: 'Lazima tumfukuze adui nje ya eneo letu

.

Chanzo cha picha, Reuters

Tumekuwa tukipata maelezo kutoka Urusi - ambapo Rais Vladimir Putin ameitisha mkutano wa maafisa kuhusu hali katika mikoa ya mpakani.

Anauambia mkutano huo unaoenda moja kwa moja hewani katika runinga ya serikali kwamba "kazi kuu ya wizara ya ulinzi ni kusukuma, kuwafukuza adui kutoka katika eneo letu".

Pia anasema kuwa lengo la Ukraine katika shambulio hilo ilikuwa kuboresha nafasi yake ya mazungumzo.

Popular posts from this blog

Jeshi la Wanamaji la Marekani limesema linakabiliwa na vita 'kali zaidi' tangu Vita vya Pili vya Dunia dhidi ya Wayemeni

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio matano muhimu ya faida na hasara kwa Putin 2024