Tanzania yawatahadharisha raia wake wanaoishi Uingereza kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo.

 

Tanzania yawatahadharisha raia wake wanaoishi Uingereza kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo.

g

Chanzo cha picha, Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza

Maelezo ya picha, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mbelwa Brighton Kairuki

Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza umewataka Watanzania wote wanaoishi nchini Uingereza kuendelea kuchukua tahadhar kufuatia vurugu zinazoendelea katika maeneo mbali mbali ya nchi hiyo, imesema taarifa ya ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Taarifa hiyo imeendelea kusema kuwa ubalozi utakuwa tayari kuwasaidia iwapo kutatokea na hali ya dharura hadi hali iytakaporejea kuwa ya kawaida.

Ubalozi huo umetoabarua pepe na simu za mawasiliano ya dharura kwa Watanzania:

h

Popular posts from this blog

Jeshi la Wanamaji la Marekani limesema linakabiliwa na vita 'kali zaidi' tangu Vita vya Pili vya Dunia dhidi ya Wayemeni

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio matano muhimu ya faida na hasara kwa Putin 2024