Uvamizi wa Ukraine Urusi: Tunachojua kufikia sasa

 

Uvamizi wa Ukraine Urusi: Tunachojua kufikia sasa

.

Chanzo cha picha, Reuters

  • Tishio la Putin: Rais wa Urusi anasema Ukraine itapata "jibu linalostahili" kwa uvamizi wake katika eneo la Urusi - na kwamba vikosi vya Urusi "vitamfukuza adui", katika mkutano na magavana wa kanda.
  • Udhibiti wa Ukraine: Gavana wa eneo la Kursk - ambalo Ukraine iliingia Jumanne iliyopita - alimwambia Putin kwamba wanajeshi wa Ukraine sasa wanadhibiti vijiji 28. Wanajeshi wa Ukraine wako umbali wa maili 7.4 (kilomita 12) ndani ya eneo hilo, amesema
  • Uhamisho wa watu: Gavana wa Kursk aliongeza kuwa watu 121,000 sasa wamehamishwa kutoka katika nyumba zao - na wengine 59,000 wamesalia. Huko Belgorod, eneo karibu na Kursk, karibu watu 11,000 waliambiwa kuondoka asubuhi ya Leo.
  • Nini kinafuata? Tunasubiri kusikia maelezo yoyote kutoka Ukraine leo kuhusu uvamizi wao. Mwanahabari wetu Sarah Rainsford anaangalia kama hii itabadilisha maoni ya umma wa Urusi kuhusu vita - anasema ni wazi baadhi wanajiuliza maswali.

Popular posts from this blog

Jeshi la Wanamaji la Marekani limesema linakabiliwa na vita 'kali zaidi' tangu Vita vya Pili vya Dunia dhidi ya Wayemeni

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio matano muhimu ya faida na hasara kwa Putin 2024